1 Wafalme 2:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Mwishowe mfalme akatuma watu na kumwita Shimei,+ akamwambia: “Jijengee nyumba katika Yerusalemu, nawe lazima ukae humo wala usitoke kwenda mahali hapa na pale. Mhubiri 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Usifanye haraka kuondoka mbele yake.+ Usisimame katika jambo baya.+ Kwa maana yote anayopenda kufanya, atafanya.+ Tito 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wasiseme vibaya juu ya yeyote, wasiwe wataka-vita,+ wawe wenye usawaziko,+ wakionyesha upole wote kuelekea watu wote.+
36 Mwishowe mfalme akatuma watu na kumwita Shimei,+ akamwambia: “Jijengee nyumba katika Yerusalemu, nawe lazima ukae humo wala usitoke kwenda mahali hapa na pale.
3 Usifanye haraka kuondoka mbele yake.+ Usisimame katika jambo baya.+ Kwa maana yote anayopenda kufanya, atafanya.+
2 wasiseme vibaya juu ya yeyote, wasiwe wataka-vita,+ wawe wenye usawaziko,+ wakionyesha upole wote kuelekea watu wote.+