8 “Na tazama, Shimei+ mwana wa Gera, Mbenyamini, kutoka Bahurimu+ yupo pamoja nawe, naye ndiye aliyenilaani kwa laana kali+ siku ile nilipokuwa nikienda Mahanaimu;+ naye ndiye aliyeshuka kuja kunipokea kwenye Yordani,+ hivi kwamba nikamwapia kwa Yehova, nikisema, ‘Mimi sitakuua kwa upanga.’+