8 “Pia, Shimei mwana wa Gera, Mbenjamini, kutoka Bahurimu yuko pamoja nawe. Yeye ndiye aliyenitukana vikali+ siku niliyokuwa nikienda Mahanaimu;+ lakini aliposhuka kuja kunipokea kwenye Mto Yordani, nilimwapia hivi kwa jina la Yehova: ‘Sitakuua kwa upanga.’+