Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 wakati baba yangu alipowapigania+ ninyi, akaihatarisha nafsi+ yake ili apate kuwakomboa ninyi kutoka katika mkono wa Midiani;+

  • 1 Samweli 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye alitia nafsi yake mkononi mwake,+ na kumpiga yule Mfilisti,+ hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu+ mkubwa kwa ajili ya Israeli wote. Wewe uliona jambo hilo, ukaanza kushangilia. Basi kwa nini utende dhambi juu ya damu isiyo na hatia kwa kumfanya Daudi auawe+ bila sababu?”+

  • 1 Samweli 28:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa yule mwanamke akamjia Sauli, akaona kwamba alikuwa na wasiwasi sana. Kwa hiyo akamwambia: “Tazama, mjakazi wako ameitii sauti yako, nami nikaitia nafsi yangu mkononi mwangu+ na kuyatii maneno uliyoniambia.

  • 2 Samweli 23:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye akaendelea kusema: “Ni jambo lisiloweza kuwaziwa kwangu,+ Ee Yehova, kwamba nifanye hivi! Je, ninywe damu+ ya watu wanaoenda kwa kuhatarisha nafsi zao?” Naye hakukubali kuyanywa.

      Hayo ndiyo mambo ambayo wale wanaume watatu wenye nguvu walifanya.

  • Ayubu 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa nini ninabeba nyama ya mwili wangu katika meno yangu

      Na kutia nafsi yangu mwenyewe mkononi mwangu?+

  • Zaburi 119:109
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 109 Nafsi yangu imo mkononi mwangu daima;+

      Lakini sheria yako sijaisahau.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki