Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nilipoona kwamba hamniokoi, nikaazimia kuitia nafsi yangu mkononi+ mwangu mwenyewe, nikavuka kupigana na wana wa Amoni.+ Hivyo Yehova akawatia mkononi mwangu. Basi kwa nini mmekuja juu yangu kupigana nami leo?”

  • 1 Samweli 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye alitia nafsi yake mkononi mwake,+ na kumpiga yule Mfilisti,+ hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu+ mkubwa kwa ajili ya Israeli wote. Wewe uliona jambo hilo, ukaanza kushangilia. Basi kwa nini utende dhambi juu ya damu isiyo na hatia kwa kumfanya Daudi auawe+ bila sababu?”+

  • Zaburi 119:109
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 109 Nafsi yangu imo mkononi mwangu daima;+

      Lakini sheria yako sijaisahau.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki