1 Samweli 20:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hata hivyo, Yonathani akamjibu Sauli baba yake na kumwambia: “Kwa nini auawe?+ Amefanya nini?”+ Yeremia 26:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ila tu mnapaswa kujua kabisa kwamba, ikiwa mnaniua, ni damu isiyo na hatia ambayo mnajiletea juu yenu wenyewe na juu ya jiji hili na juu ya wakaaji wake,+ kwa maana kwa kweli Yehova alinituma kwenu niseme masikioni mwenu maneno haya yote.”+ Mathayo 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 akisema: “Nilitenda dhambi niliposaliti damu yenye uadilifu.”+ Wakasema: “Hilo linatuhusu nini? Shauri yako!”+
15 Ila tu mnapaswa kujua kabisa kwamba, ikiwa mnaniua, ni damu isiyo na hatia ambayo mnajiletea juu yenu wenyewe na juu ya jiji hili na juu ya wakaaji wake,+ kwa maana kwa kweli Yehova alinituma kwenu niseme masikioni mwenu maneno haya yote.”+
4 akisema: “Nilitenda dhambi niliposaliti damu yenye uadilifu.”+ Wakasema: “Hilo linatuhusu nini? Shauri yako!”+