Mathayo 27:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Akasema: “Kwani, amefanya jambo gani baya?” Bado wao wakaendelea kupaaza sauti hata zaidi: “Atundikwe mtini!”+ Luka 23:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mara ya tatu akawaambia: “Kwa nini, ni jambo gani baya alilofanya mtu huyu? Mimi sikuona jambo lolote linalostahili kifo ndani yake; kwa hiyo nitamwadhibu na kumfungua.”+
23 Akasema: “Kwani, amefanya jambo gani baya?” Bado wao wakaendelea kupaaza sauti hata zaidi: “Atundikwe mtini!”+
22 Mara ya tatu akawaambia: “Kwa nini, ni jambo gani baya alilofanya mtu huyu? Mimi sikuona jambo lolote linalostahili kifo ndani yake; kwa hiyo nitamwadhibu na kumfungua.”+