- 
	                        
            
            Luka 23:22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        22 Akawaambia mara ya tatu: “Kwa nini? Amefanya kosa gani? Mimi sikuona jambo lolote linalofanya astahili kifo; kwa hiyo nitamwadhibu kisha nimfungue.” 
 
- 
                                        
- 
	                        
            
            Luka 23:22Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
- 
                            - 
                                        22 Mara ya tatu akawaambia: “Kwa nini, ni jambo gani baya alilofanya mtu huyu? Mimi sikupata jambo lolote linalostahili kifo katika yeye; kwa hiyo hakika mimi nitamwadhibu na kumfungua.” 
 
-