-
Luka 23:22Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
22 Mara ya tatu akawaambia: “Kwa nini, ni jambo gani baya alilofanya mtu huyu? Mimi sikupata jambo lolote linalostahili kifo katika yeye; kwa hiyo hakika mimi nitamwadhibu na kumfungua.”
-