17 “Nawe unapaswa kufunga mshipi viunoni mwako,+ na kusimama na kuwaambia kila jambo ambalo mimi ninakuamuru. Usiwe na hofu yoyote kwa sababu yao,+ ili mimi nisikutie hofu mbele yao.
2 “Yehova amesema hivi, ‘Simama katika ua wa nyumba ya Yehova,+ nawe useme kuhusu majiji yote ya Yuda yanayokuja kuinama katika nyumba ya Yehova, useme maneno yote nitakayokuamuru uwaambie.+ Usiondoe hata neno moja.+