Yeremia 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha Yeremia akatoka Tofethi,+ ambapo Yehova alikuwa amemtuma ili kutoa unabii, akasimama katika ua wa nyumba ya Yehova na kuwaambia watu wote:+ Yohana 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yesu akamjibu: “Nimesema na ulimwengu hadharani. Sikuzote nilifundisha katika sinagogi na katika hekalu,+ ambapo Wayahudi wote hukusanyika; nami sikusema jambo lolote katika siri. Matendo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Nendeni, na, mkiisha kusimama katika hekalu, semeni na watu maneno yote juu ya maisha haya.”+
14 Kisha Yeremia akatoka Tofethi,+ ambapo Yehova alikuwa amemtuma ili kutoa unabii, akasimama katika ua wa nyumba ya Yehova na kuwaambia watu wote:+
20 Yesu akamjibu: “Nimesema na ulimwengu hadharani. Sikuzote nilifundisha katika sinagogi na katika hekalu,+ ambapo Wayahudi wote hukusanyika; nami sikusema jambo lolote katika siri.