Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Ndipo Yesu akauambia umati: “Je, mmetoka mkiwa na mapanga na marungu kana kwamba ni kwenda juu ya mnyang’anyi ili kunikamata?+ Siku baada ya siku nilikuwa nikiketi katika hekalu+ nikifundisha, na bado hamkunikamata.

  • Luka 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Pia, akaanza kufundisha katika masinagogi yao, akiheshimiwa na wote.+

  • Luka 19:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Zaidi ya hayo, akawa akifundisha kila siku katika hekalu. Lakini wakuu wa makuhani na waandishi na wakuu kati ya watu walikuwa wakitafuta kumwangamiza;+

  • Yohana 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kufikia sasa sherehe ilipokuwa imefika katikati, Yesu akapanda kuingia hekaluni na kuanza kufundisha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki