20 Na roho+ ya Mungu ikamfunika+ Zekaria+ mwana wa Yehoyada+ kuhani, hivi kwamba akasimama juu ya watu na kuwaambia: “Mungu wa kweli amesema hivi, ‘Kwa nini mnazivunja amri za Yehova, hivi kwamba hamwezi kufanikiwa?+ Kwa sababu mmemwacha Yehova, yeye naye atawaacha ninyi.’”+