Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo Yehoshafati akasimama katika kutaniko la Yuda na la Yerusalemu ndani ya nyumba ya Yehova+ mbele ya ule ua mpya,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na roho+ ya Mungu ikamfunika+ Zekaria+ mwana wa Yehoyada+ kuhani, hivi kwamba akasimama juu ya watu na kuwaambia: “Mungu wa kweli amesema hivi, ‘Kwa nini mnazivunja amri za Yehova, hivi kwamba hamwezi kufanikiwa?+ Kwa sababu mmemwacha Yehova, yeye naye atawaacha ninyi.’”+

  • Yeremia 26:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova amesema hivi, ‘Simama katika ua wa nyumba ya Yehova,+ nawe useme kuhusu majiji yote ya Yuda yanayokuja kuinama katika nyumba ya Yehova, useme maneno yote nitakayokuamuru uwaambie.+ Usiondoe hata neno moja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki