Isaya 58:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 “Ita kwa sauti kamili kutoka kooni; usizuie.+ Paaza sauti yako kama baragumu, uwaambie watu wangu maasi+ yao, na nyumba ya Yakobo dhambi zao. Yeremia 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Usiseme, ‘Mimi ni mvulana tu.’ Lakini kwa wale wote nitakaokutuma kwao, unapaswa kwenda; na kila jambo nitakalokuamuru, unapaswa kusema.+
58 “Ita kwa sauti kamili kutoka kooni; usizuie.+ Paaza sauti yako kama baragumu, uwaambie watu wangu maasi+ yao, na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
7 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Usiseme, ‘Mimi ni mvulana tu.’ Lakini kwa wale wote nitakaokutuma kwao, unapaswa kwenda; na kila jambo nitakalokuamuru, unapaswa kusema.+