Yeremia 26:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova anasema hivi: ‘Simama katika ua wa nyumba ya Yehova useme kuhusu* watu wote wa majiji ya Yuda wanaoingia ili kuabudu* katika nyumba ya Yehova. Waambie kila kitu ninachokuamuru; usiondoe hata neno moja.
2 “Yehova anasema hivi: ‘Simama katika ua wa nyumba ya Yehova useme kuhusu* watu wote wa majiji ya Yuda wanaoingia ili kuabudu* katika nyumba ya Yehova. Waambie kila kitu ninachokuamuru; usiondoe hata neno moja.