29 Mara moja akamwambia Gehazi:+ “Jifunge viuno+ vyako, uchukue fimbo+ yangu mkononi mwako, uende. Ukikutana na yeyote, usimsalimu;+ na yeyote akikusalimu, usimjibu. Nawe uitie fimbo yangu juu ya uso wa huyo mvulana.”+
9Na Elisha nabii akamwita mmoja wa wana+ wa manabii, kisha akamwambia: “Jifunge viuno+ vyako uchukue chupa+ hii ya mafuta mkononi mwako, uende Ramothi-gileadi.+
37 Wenye furaha ni watumwa ambao bwana anapofika anawakuta wakikesha!+ Kwa kweli ninawaambia ninyi, Yeye atajifunga+ na kuwaketisha mezani naye atakuja kando na kuwahudumia.+
13 Kwa hiyo kazeni akili zenu kwa ajili ya utendaji,+ tunzeni akili zenu kwa ukamili;+ kazeni tumaini lenu juu ya fadhili zisizostahiliwa+ zitakazoletwa kwenu wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.