Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 18:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Na mkono wa Yehova ukawa juu ya Eliya,+ hivi kwamba akajifunga viuno,+ naye akakimbia mbele ya Ahabu mpaka Yezreeli.+

  • 2 Wafalme 4:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mara moja akamwambia Gehazi:+ “Jifunge viuno+ vyako, uchukue fimbo+ yangu mkononi mwako, uende. Ukikutana na yeyote, usimsalimu;+ na yeyote akikusalimu, usimjibu. Nawe uitie fimbo yangu juu ya uso wa huyo mvulana.”+

  • 2 Wafalme 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Elisha nabii akamwita mmoja wa wana+ wa manabii, kisha akamwambia: “Jifunge viuno+ vyako uchukue chupa+ hii ya mafuta mkononi mwako, uende Ramothi-gileadi.+

  • Ayubu 38:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tafadhali jifunge viuno vyako, kama mwanamume,

      Na acha mimi nikuulize maswali, nawe unijulishe.+

  • Luka 12:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Wenye furaha ni watumwa ambao bwana anapofika anawakuta wakikesha!+ Kwa kweli ninawaambia ninyi, Yeye atajifunga+ na kuwaketisha mezani naye atakuja kando na kuwahudumia.+

  • 1 Petro 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo kazeni akili zenu kwa ajili ya utendaji,+ tunzeni akili zenu kwa ukamili;+ kazeni tumaini lenu juu ya fadhili zisizostahiliwa+ zitakazoletwa kwenu wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki