2 Wafalme 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi akaenda pamoja na Yehoramu mwana wa Ahabu kupigana vita na Hazaeli+ mfalme wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ lakini Wasiria wakampiga+ Yehoramu. 2 Mambo ya Nyakati 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yeye pia alitembea katika shauri lao,+ hivi kwamba akaenda pamoja na Yehoramu+ mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana vita na Hazaeli+ mfalme wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ ambako wapiga-mishale walimpiga Yehoramu.+
28 Basi akaenda pamoja na Yehoramu mwana wa Ahabu kupigana vita na Hazaeli+ mfalme wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ lakini Wasiria wakampiga+ Yehoramu.
5 Yeye pia alitembea katika shauri lao,+ hivi kwamba akaenda pamoja na Yehoramu+ mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana vita na Hazaeli+ mfalme wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ ambako wapiga-mishale walimpiga Yehoramu.+