2 Wafalme 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baadaye Yehoramu+ mfalme akarudi kule Yezreeli+ ili apone yale majeraha ambayo Wasiria walimtia alipopigana na Hazaeli mfalme wa Siria.+ Sasa Yehu akasema: “Nafsi yenu ikikubali,+ msiache yeyote akimbie kutoka jijini na kupeleka habari Yezreeli.” 2 Mambo ya Nyakati 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yeye pia alitembea katika shauri lao,+ hivi kwamba akaenda pamoja na Yehoramu+ mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana vita na Hazaeli+ mfalme wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ ambako wapiga-mishale walimpiga Yehoramu.+
15 Baadaye Yehoramu+ mfalme akarudi kule Yezreeli+ ili apone yale majeraha ambayo Wasiria walimtia alipopigana na Hazaeli mfalme wa Siria.+ Sasa Yehu akasema: “Nafsi yenu ikikubali,+ msiache yeyote akimbie kutoka jijini na kupeleka habari Yezreeli.”
5 Yeye pia alitembea katika shauri lao,+ hivi kwamba akaenda pamoja na Yehoramu+ mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana vita na Hazaeli+ mfalme wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ ambako wapiga-mishale walimpiga Yehoramu.+