38 Na kutoka katika kabila la Gadi,+ jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji, yaani, jiji la Ramothi katika Gileadi,+ na kiwanja chake cha malisho, na Mahanaimu+ na kiwanja chake cha malisho,
3 Ndipo mfalme wa Israeli akawaambia watumishi wake: “Je, kweli hamjui kwamba Ramothi-gileadi+ ni jiji letu? Na bado tunasitasita kulichukua kutoka mkononi mwa mfalme wa Siria.”