Yeremia 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini unapaswa kuwa tayari kuchukua hatua,*Nawe unapaswa kusimama na kuwaambia kila jambo ninalokuamuru. Usiwaogope,+Ili nisikuogopeshe mbele yao.
17 Lakini unapaswa kuwa tayari kuchukua hatua,*Nawe unapaswa kusimama na kuwaambia kila jambo ninalokuamuru. Usiwaogope,+Ili nisikuogopeshe mbele yao.