1 Samweli 28:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwanamke huyo alipomkaribia Sauli na kuona kwamba ana wasiwasi mwingi, akamwambia: “Mimi kijakazi wako nimetii jambo ulilosema, na nimehatarisha uhai wangu*+ kwa kufanya uliloniambia nifanye.
21 Mwanamke huyo alipomkaribia Sauli na kuona kwamba ana wasiwasi mwingi, akamwambia: “Mimi kijakazi wako nimetii jambo ulilosema, na nimehatarisha uhai wangu*+ kwa kufanya uliloniambia nifanye.