Waroma 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo?+ Je, ni dhiki au taabu au mateso au njaa au uchi au hatari au upanga?+ 2 Wakorintho 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo hatufi moyo, lakini hata ikiwa mtu tuliye kwa nje anachakaa, hakika mtu tuliye kwa ndani+ anafanywa upya siku baada ya siku.
35 Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo?+ Je, ni dhiki au taabu au mateso au njaa au uchi au hatari au upanga?+
16 Kwa hiyo hatufi moyo, lakini hata ikiwa mtu tuliye kwa nje anachakaa, hakika mtu tuliye kwa ndani+ anafanywa upya siku baada ya siku.