1 Samweli 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+ Zaburi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na kusema: “Mimi, naam, mimi nimemweka mfalme wangu+Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”+ Zaburi 144:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wewe unayewapa wafalme wokovu,+Wewe unayemweka Daudi mtumishi wako huru kutokana na upanga wenye kuumiza.+
10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+
10 Wewe unayewapa wafalme wokovu,+Wewe unayemweka Daudi mtumishi wako huru kutokana na upanga wenye kuumiza.+