46 Leo Yehova atakutia mkononi mwangu,+ nami hakika nitakupiga na kukiondoa kichwa chako juu yako; nami leo nitawapa ndege wa mbinguni na wanyama-mwitu wa dunia mizoga ya kambi ya Wafilisti;+ na watu wa dunia yote watajua kwamba kuna Mungu aliye wa Israeli.+
17 Basi Abishai+ mwana wa Seruya akaja mara moja kumsaidia,+ akampiga yule Mfilisti na kumuua. Ndipo watu wa Daudi wakamwapia, wakisema: “Usiende tena pamoja nasi vitani,+ usije ukaizima+ taa+ ya Israeli!”