2 Samweli 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye Daudi akaanza kumuuliza+ Yehova, akisema: “Je, nipande kwenda kupigana na Wafilisti? Je, utawatia mkononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, kwa maana bila shaka nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+ Zaburi 18:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Yeye anafanya matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake+Na kuonyesha fadhili zenye upendo kwa mtiwa-mafuta wake,+Kwa Daudi na kwa uzao wake mpaka wakati usio na kipimo.+
19 Naye Daudi akaanza kumuuliza+ Yehova, akisema: “Je, nipande kwenda kupigana na Wafilisti? Je, utawatia mkononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, kwa maana bila shaka nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+
50 Yeye anafanya matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake+Na kuonyesha fadhili zenye upendo kwa mtiwa-mafuta wake,+Kwa Daudi na kwa uzao wake mpaka wakati usio na kipimo.+