Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.”

  • 1 Samweli 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Daudi akamuuliza+ Yehova, akisema: “Je, niende, na je, niwapige hawa Wafilisti?” Na Yehova akamwambia Daudi: “Nenda, nawe uwapige Wafilisti, uokoe Keila.”

  • 2 Samweli 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akamuuliza Yehova,+ akisema: “Je, nipande kwenda katika moja la majiji ya Yuda?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende.” Na Daudi akaendelea kusema: “Nipande kwenda wapi?” Ndipo akasema: “Hebroni.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye Daudi akaanza kumuuliza Mungu,+ akisema: “Je, nipande kwenda kupigana na Wafilisti, na je, hakika utawatia mkononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende, nami hakika nitawatia mkononi mwako.”

  • Methali 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mtambue yeye katika njia zako zote,+ naye atanyoosha mapito yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki