Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Na ikawa kwamba baada ya kifo+ cha Yoshua, wana wa Israeli wakamuuliza+ Yehova, wakisema: “Ni nani kati yetu atakayepanda kwanza kwa Wakanaani ili kupigana nao?”

  • 1 Samweli 28:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+

  • 1 Samweli 30:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Daudi akaanza kumuuliza Yehova,+ akisema: “Je, nikifuatilie kikundi hiki cha waporaji? Je, nitawafikia?”+ Ndipo akamwambia: “Nenda, uwafuatilie, kwa maana bila shaka utawafikia, nawe bila shaka utaleta ukombozi.”+

  • 2 Samweli 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye Daudi akaanza kumuuliza+ Yehova, akisema: “Je, nipande kwenda kupigana na Wafilisti? Je, utawatia mkononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, kwa maana bila shaka nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+

  • Zaburi 37:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mkabidhi Yehova njia yako,+

      Na kumtegemea,+ naye mwenyewe atatenda.+

  • Methali 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mtegemee Yehova kwa moyo wako wote+ wala usitegemee uelewaji wako mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki