2 Samweli 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Daudi akamuuliza Yehova:+ “Je, nipande kwenda kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, nami hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+
19 Daudi akamuuliza Yehova:+ “Je, nipande kwenda kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, nami hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+