1 Samweli 14:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na Sauli akaanza kumuuliza Mungu: “Je, nishuke kuwafuatilia Wafilisti?+ Je, utawatia mkononi mwa Israeli?”+ Naye hakumjibu siku hiyo.+ Zaburi 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova na abarikiwe, kwa maana ameisikia sauti ya kusihi kwangu.+
37 Na Sauli akaanza kumuuliza Mungu: “Je, nishuke kuwafuatilia Wafilisti?+ Je, utawatia mkononi mwa Israeli?”+ Naye hakumjibu siku hiyo.+