1 Samweli 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+ Zaburi 66:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ikiwa nimefikiria jambo lolote lenye kuumiza moyoni mwangu,Yehova hatanisikia.+ Isaya 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+ Ezekieli 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Mwana wa binadamu, sema na wanaume wazee wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Je, mnakuja kuuliza neno juu yangu?+ ‘Kama ninavyoishi, hamtauliza neno juu yangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” ’
6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+
15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+
3 “Mwana wa binadamu, sema na wanaume wazee wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Je, mnakuja kuuliza neno juu yangu?+ ‘Kama ninavyoishi, hamtauliza neno juu yangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” ’