Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 28:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+

  • Zaburi 66:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ikiwa nimefikiria jambo lolote lenye kuumiza moyoni mwangu,

      Yehova hatanisikia.+

  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+

  • Ezekieli 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Mwana wa binadamu, sema na wanaume wazee wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Je, mnakuja kuuliza neno juu yangu?+ ‘Kama ninavyoishi, hamtauliza neno juu yangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” ’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki