Ezekieli 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Mwana wa binadamu, zungumza na wazee wa Israeli uwaambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Je, mnakuja kuniomba ushauri? ‘Kwa hakika kama ninavyoishi, sitawajibu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”’
3 “Mwana wa binadamu, zungumza na wazee wa Israeli uwaambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Je, mnakuja kuniomba ushauri? ‘Kwa hakika kama ninavyoishi, sitawajibu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”’