20 Lakini alipokuwa amekwisha kufikiria mambo haya, tazama! malaika wa Yehova alimtokea katika ndoto, akisema: “Yosefu, mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria mke wako na kwenda naye nyumbani, kwa maana mimba iliyo ndani yake imetokana na roho takatifu.+