Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.”

  • Waamuzi 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo wakamwambia: “Tafadhali, uliza+ kutoka kwa Mungu+ ili tupate kujua kama njia yetu tunayoiendea itafanikiwa.”

  • Waamuzi 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi Finehasi+ mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, alikuwa amesimama mbele ya sanduku hilo siku hizo,+ akisema: “Je, niende tena kupigana na wana wa Benyamini ndugu yangu, au je, nisiende?”+ Na Yehova akasema: “Panda, kwa kuwa kesho nitamtia mkononi mwako.”+

  • 1 Samweli 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Daudi akamuuliza+ Yehova, akisema: “Je, niende, na je, niwapige hawa Wafilisti?” Na Yehova akamwambia Daudi: “Nenda, nawe uwapige Wafilisti, uokoe Keila.”

  • 1 Samweli 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Je, wenye mashamba wa Keila watanitia mkononi mwake? Je, Sauli atashuka kuja kulingana na habari ambazo mtumishi wako amesikia? Ee Yehova, Mungu wa Israeli, tafadhali umwambie mtumishi wako.” Ndipo Yehova akasema: “Atashuka.”+

  • 1 Samweli 28:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+

  • Methali 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mtegemee Yehova kwa moyo wako wote+ wala usitegemee uelewaji wako mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki