28 Basi Finehasi+ mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, alikuwa akihudumu mbele ya sanduku hilo siku hizo. Wakamuuliza, “Je, twende tena kupigana na ndugu zetu Wabenjamini, au tusiende?”+ Yehova akawajibu hivi: “Nendeni, kwa sababu kesho nitawatia mikononi mwenu.”