43 Nazo zitavaliwa na Haruni na wanawe wanapoingia kwenye hema la mkutano au wanapoenda karibu na madhabahu ili kuhudumu katika mahali patakatifu, ili wasifanye kosa na kufa hakika. Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yake na uzao wake baada yake.+
9 Nawe utawafunga ukumbuu, Haruni pamoja na wanawe, nawe utawafunga valio la kichwani; nao ukuhani utakuwa wao, hiyo ikiwa ni sheria mpaka wakati usio na kipimo.+ Basi utajaza nguvu mkono wa Haruni na mkono wa wanawe.+