21 Katika hema la mkutano, nje ya pazia+ lililo kando ya ule Ushuhuda, Haruni na wanawe watauweka kwa utaratibu tangu asubuhi mpaka jioni mbele za Yehova.+ Itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa vizazi vyao,+ itakayotekelezwa na wana wa Israeli.+