2 Samweli 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye Daudi akaanza kumuuliza+ Yehova, akisema: “Je, nipande kwenda kupigana na Wafilisti? Je, utawatia mkononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, kwa maana bila shaka nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+
19 Naye Daudi akaanza kumuuliza+ Yehova, akisema: “Je, nipande kwenda kupigana na Wafilisti? Je, utawatia mkononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, kwa maana bila shaka nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+