Waamuzi 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi wana wa Israeli wakapanda na kulia+ mbele za Yehova mpaka jioni nao wakauliza kutoka kwa Yehova, wakisema: “Je, niende nikaribie tena kupigana na wana wa Benyamini ndugu yangu?”+ Yehova akasema: “Panda upigane naye.”
23 Basi wana wa Israeli wakapanda na kulia+ mbele za Yehova mpaka jioni nao wakauliza kutoka kwa Yehova, wakisema: “Je, niende nikaribie tena kupigana na wana wa Benyamini ndugu yangu?”+ Yehova akasema: “Panda upigane naye.”