Waamuzi 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi wana wote wa Israeli,+ watu wote, wakapanda na kuja Betheli, wakalia+ na kukaa hapo mbele za Yehova nao wakafunga+ siku hiyo mpaka jioni, wakatoa matoleo ya kuteketezwa+ na matoleo ya ushirika+ mbele za Yehova. Methali 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtegemee Yehova kwa moyo wako wote+ wala usitegemee uelewaji wako mwenyewe.+ Methali 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mkabidhi Yehova mwenyewe kazi zako+ nayo mipango yako itafanywa imara.+
26 Basi wana wote wa Israeli,+ watu wote, wakapanda na kuja Betheli, wakalia+ na kukaa hapo mbele za Yehova nao wakafunga+ siku hiyo mpaka jioni, wakatoa matoleo ya kuteketezwa+ na matoleo ya ushirika+ mbele za Yehova.