Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na Eleazari, mwana wa Haruni,+ alijichukulia mmoja wa binti za Putieli awe mke wake. Baadaye akamzalia Finehasi.+

      Hao ndio vichwa vya upande wa baba vya Walawi, kulingana na familia zao.+

  • Hesabu 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Finehasi+ mwana wa Eleazari mwana wa Haruni kuhani alipoona hilo, akainuka mara moja kutoka katikati ya kusanyiko, akachukua mkuki mkononi mwake.

  • Yoshua 22:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo wana wa Israeli wakamtuma+ Finehasi+ mwana wa Eleazari kuhani kwa wana wa Rubeni na wana wa Gadi na nusu ya kabila la Manase katika nchi ya Gileadi,

  • Yoshua 24:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Eleazari mwana wa Haruni akafa pia.+ Basi wakamzika katika Kilima cha Finehasi mwana wake,+ ambacho alikuwa amempa katika eneo lenye milima la Efraimu.

  • Zaburi 106:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Finehasi aliposimama na kuingilia kati,+

      Ndipo tauni ikazuiwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki