13 Ndipo wana wa Israeli wakamtuma+ Finehasi+ mwana wa Eleazari kuhani kwa wana wa Rubeni na wana wa Gadi na nusu ya kabila la Manase katika nchi ya Gileadi,
33 Eleazari mwana wa Haruni akafa pia.+ Basi wakamzika katika Kilima cha Finehasi mwana wake,+ ambacho alikuwa amempa katika eneo lenye milima la Efraimu.