Kutoka 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Eleazari,+ mwana wa Haruni, alimwoa mmoja wa mabinti wa Putieli. Akamzalia mwana aliyeitwa Finehasi.+ Hao ndio viongozi wa koo* za Walawi, kulingana na koo zao.+
25 Eleazari,+ mwana wa Haruni, alimwoa mmoja wa mabinti wa Putieli. Akamzalia mwana aliyeitwa Finehasi.+ Hao ndio viongozi wa koo* za Walawi, kulingana na koo zao.+