Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Finehasi+ mwana wa Eleazari mwana wa kuhani Haruni alipoona jambo hilo, aliinuka mara moja kutoka kati ya Waisraeli waliokusanyika, akachukua mkuki.

  • Hesabu 31:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha Musa akawatuma vitani wanaume 1,000 kutoka katika kila kabila, wakiwa pamoja na Finehasi+ mwana wa kuhani Eleazari aliyebeba mkononi mwake vyombo vitakatifu na tarumbeta za kutangaza mwito.+

  • Yoshua 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ndipo Finehasi mwana wa kuhani Eleazari akawaambia wazao wa Rubeni, Gadi, na Manase: “Leo tunajua kwamba Yehova yuko kati yetu kwa sababu hamjakosa uaminifu kwa Yehova katika jambo hili. Sasa mmewaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Yehova.”

  • Waamuzi 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi Finehasi+ mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, alikuwa akihudumu* mbele ya sanduku hilo siku hizo. Wakamuuliza, “Je, twende tena kupigana na ndugu zetu Wabenjamini, au tusiende?”+ Yehova akawajibu hivi: “Nendeni, kwa sababu kesho nitawatia mikononi mwenu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki