Kutoka 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Eleazari,+ mwana wa Haruni, alimwoa mmoja wa mabinti wa Putieli. Akamzalia mwana aliyeitwa Finehasi.+ Hao ndio viongozi wa koo* za Walawi, kulingana na koo zao.+ Yoshua 22:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi kuhani Finehasi, wakuu wa Waisraeli, na viongozi wa maelfu* katika Israeli waliokuwa pamoja naye waliposikia maneno yaliyosemwa na wazao wa Rubeni, Gadi, na Manase, wakaridhika.+
25 Eleazari,+ mwana wa Haruni, alimwoa mmoja wa mabinti wa Putieli. Akamzalia mwana aliyeitwa Finehasi.+ Hao ndio viongozi wa koo* za Walawi, kulingana na koo zao.+
30 Basi kuhani Finehasi, wakuu wa Waisraeli, na viongozi wa maelfu* katika Israeli waliokuwa pamoja naye waliposikia maneno yaliyosemwa na wazao wa Rubeni, Gadi, na Manase, wakaridhika.+