31 Basi Finehasi mwana wa Eleazari kuhani akawaambia wana wa Rubeni na wana wa Gadi na wana wa Manase: “Leo tunajua kwamba Yehova yupo katikati yetu,+ kwa kuwa ninyi hamkufanya tendo hili la kukosa uaminifu juu ya Yehova. Basi sasa mmewakomboa wana wa Israeli kutoka katika mkono wa Yehova.”+