-
Yoshua 22:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Ndipo Finehasi mwana wa kuhani Eleazari akawaambia wazao wa Rubeni, Gadi, na Manase: “Leo tunajua kwamba Yehova yuko kati yetu kwa sababu hamjakosa uaminifu kwa Yehova katika jambo hili. Sasa mmewaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Yehova.”
-