Hesabu 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Musa akawatuma, watu elfu moja wa kila kabila, kwenye jeshi, wao na Finehasi+ mwana wa Eleazari kuhani kwenye jeshi, na vile vyombo vitakatifu na zile tarumbeta+ za kupiga mbiu zilikuwa mkononi mwake.
6 Ndipo Musa akawatuma, watu elfu moja wa kila kabila, kwenye jeshi, wao na Finehasi+ mwana wa Eleazari kuhani kwenye jeshi, na vile vyombo vitakatifu na zile tarumbeta+ za kupiga mbiu zilikuwa mkononi mwake.