28 Basi Finehasi+ mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, alikuwa amesimama mbele ya sanduku hilo siku hizo,+ akisema: “Je, niende tena kupigana na wana wa Benyamini ndugu yangu, au je, nisiende?”+ Na Yehova akasema: “Panda, kwa kuwa kesho nitamtia mkononi mwako.”+