Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Finehasi+ mwana wa Eleazari mwana wa Haruni kuhani alipoona hilo, akainuka mara moja kutoka katikati ya kusanyiko, akachukua mkuki mkononi mwake.

  • Hesabu 31:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Musa akawatuma, watu elfu moja wa kila kabila, kwenye jeshi, wao na Finehasi+ mwana wa Eleazari kuhani kwenye jeshi, na vile vyombo vitakatifu na zile tarumbeta+ za kupiga mbiu zilikuwa mkononi mwake.

  • Yoshua 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi Finehasi mwana wa Eleazari kuhani akawaambia wana wa Rubeni na wana wa Gadi na wana wa Manase: “Leo tunajua kwamba Yehova yupo katikati yetu,+ kwa kuwa ninyi hamkufanya tendo hili la kukosa uaminifu juu ya Yehova. Basi sasa mmewakomboa wana wa Israeli kutoka katika mkono wa Yehova.”+

  • Waamuzi 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi Finehasi+ mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, alikuwa amesimama mbele ya sanduku hilo siku hizo,+ akisema: “Je, niende tena kupigana na wana wa Benyamini ndugu yangu, au je, nisiende?”+ Na Yehova akasema: “Panda, kwa kuwa kesho nitamtia mkononi mwako.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki