Kutoka 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Eleazari, mwana wa Haruni,+ alijichukulia mmoja wa binti za Putieli awe mke wake. Baadaye akamzalia Finehasi.+ Hao ndio vichwa vya upande wa baba vya Walawi, kulingana na familia zao.+ Yoshua 22:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Sasa Finehasi+ kuhani na wakuu wa kusanyiko+ na vichwa vya maelfu ya Israeli waliokuwa pamoja naye waliposikia maneno hayo ambayo walisema wana wa Rubeni na wana wa Gadi na wana wa Manase, ikawa vema machoni pao. 1 Mambo ya Nyakati 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Eleazari+ naye akamzaa Finehasi.+ Finehasi akamzaa Abishua.+
25 Na Eleazari, mwana wa Haruni,+ alijichukulia mmoja wa binti za Putieli awe mke wake. Baadaye akamzalia Finehasi.+ Hao ndio vichwa vya upande wa baba vya Walawi, kulingana na familia zao.+
30 Sasa Finehasi+ kuhani na wakuu wa kusanyiko+ na vichwa vya maelfu ya Israeli waliokuwa pamoja naye waliposikia maneno hayo ambayo walisema wana wa Rubeni na wana wa Gadi na wana wa Manase, ikawa vema machoni pao.