Yoshua 22:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi kuhani Finehasi, wakuu wa Waisraeli, na viongozi wa maelfu* katika Israeli waliokuwa pamoja naye waliposikia maneno yaliyosemwa na wazao wa Rubeni, Gadi, na Manase, wakaridhika.+
30 Basi kuhani Finehasi, wakuu wa Waisraeli, na viongozi wa maelfu* katika Israeli waliokuwa pamoja naye waliposikia maneno yaliyosemwa na wazao wa Rubeni, Gadi, na Manase, wakaridhika.+